22 Umeyaita makao yangu ya kigeni kuzunguka pande zote kama katika siku ya sherehe.+
Na katika siku ya ghadhabu ya Yehova hapakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka;+
Wale ambao nilizaa wakiwa wamekomaa na kuwalea, adui yangu aliwaangamiza.+