29 Zaidi ya hayo, wakaita jiji hilo jina Dani kulingana na jina la baba yao, Dani,+ aliyezaliwa kwa Israeli.+ Hata hivyo, jina la jiji hilo hapo zamani lilikuwa Laishi.+
20 Basi Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akatuma wakuu wake wa majeshi kushambulia majiji ya Israeli, wakapiga Iyoni+ na Dani+ na Abel-beth-maaka+ na Kinerethi yote, na hata nchi yote ya Naftali.+