2 Samweli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Sheba akapita kati ya makabila yote ya Israeli mpaka jiji la Abeli la Beth-maaka.+ Nao Wabikri wote wakakutanika pamoja, nao pia wakaingia nyuma yake.
14 Na Sheba akapita kati ya makabila yote ya Israeli mpaka jiji la Abeli la Beth-maaka.+ Nao Wabikri wote wakakutanika pamoja, nao pia wakaingia nyuma yake.