Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 20:1

Marejeo

  • +Kum 13:13; 1Sa 2:12
  • +2Sa 20:21
  • +Amu 3:27; 2Sa 15:10
  • +2Sa 19:43
  • +Kum 13:6, 9; 1Fa 12:16; 2Nya 10:16

2 Samweli 20:2

Marejeo

  • +2Sa 15:12; Met 6:19; 24:21; Gal 5:20
  • +2Sa 19:15, 42

2 Samweli 20:3

Marejeo

  • +2Sa 5:11
  • +2Sa 15:16; 16:21
  • +2Sa 16:22

2 Samweli 20:4

Marejeo

  • +2Sa 17:25; 19:13; 1Nya 2:17

2 Samweli 20:6

Marejeo

  • +1Sa 26:6; 2Sa 10:10; 23:18; 1Nya 11:20; 18:12
  • +2Sa 20:1
  • +2Sa 15:12
  • +2Sa 11:11; 1Fa 1:33

2 Samweli 20:7

Marejeo

  • +2Sa 8:16
  • +2Sa 8:18; 1Nya 18:17
  • +2Sa 15:18; 1Fa 1:38

2 Samweli 20:8

Marejeo

  • +Yos 18:25; 21:17
  • +2Sa 17:25; 19:13

2 Samweli 20:9

Marejeo

  • +Zb 55:21; Met 26:24; Mik 7:2
  • +Lu 22:47

2 Samweli 20:10

Marejeo

  • +Hes 35:16; 2Sa 3:27; 1Fa 2:5; Zb 55:23

2 Samweli 20:11

Marejeo

  • +2Sa 20:2, 4

2 Samweli 20:12

Marejeo

  • +Mwa 4:10; 9:5
  • +2Sa 2:23

2 Samweli 20:13

Marejeo

  • +2Sa 20:1

2 Samweli 20:14

Marejeo

  • +1Fa 15:20; 2Fa 15:29; 2Nya 16:4

2 Samweli 20:15

Marejeo

  • +Mhu 9:14; Yer 33:4; Lu 19:43

2 Samweli 20:16

Marejeo

  • +1Sa 25:3; 2Sa 14:2

2 Samweli 20:17

Marejeo

  • +1Sa 25:24

2 Samweli 20:19

Marejeo

  • +Met 12:20
  • +Mwa 18:23
  • +Kum 20:10
  • +2Sa 17:16; Zb 124:3
  • +Kut 19:5; Kum 32:9; 2Sa 21:3

2 Samweli 20:21

Marejeo

  • +Yos 17:15; Amu 2:9
  • +2Sa 20:1
  • +2Sa 20:6
  • +Hes 16:24; Yos 7:13; Met 17:11
  • +Hes 16:26
  • +1Sa 17:51; 31:9; 2Fa 10:7

2 Samweli 20:22

Marejeo

  • +Mhu 9:15, 18
  • +2Sa 2:28; 18:16

2 Samweli 20:23

Marejeo

  • +2Sa 8:16; 19:13; 1Nya 18:15
  • +2Sa 23:20; 1Fa 1:38; 1Nya 27:5
  • +1Nya 12:27
  • +2Sa 8:18
  • +2Sa 15:18; 1Fa 1:44

2 Samweli 20:24

Marejeo

  • +1Fa 4:6; 12:18
  • +1Fa 4:3

2 Samweli 20:25

Marejeo

  • +1Nya 18:16
  • +2Sa 8:17
  • +2Sa 15:27; 17:15; 1Fa 4:4
  • +2Sa 19:11

2 Samweli 20:26

Marejeo

  • +1Nya 18:17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 20:1Kum 13:13; 1Sa 2:12
2 Sam. 20:12Sa 20:21
2 Sam. 20:1Amu 3:27; 2Sa 15:10
2 Sam. 20:12Sa 19:43
2 Sam. 20:1Kum 13:6, 9; 1Fa 12:16; 2Nya 10:16
2 Sam. 20:22Sa 15:12; Met 6:19; 24:21; Gal 5:20
2 Sam. 20:22Sa 19:15, 42
2 Sam. 20:32Sa 5:11
2 Sam. 20:32Sa 15:16; 16:21
2 Sam. 20:32Sa 16:22
2 Sam. 20:42Sa 17:25; 19:13; 1Nya 2:17
2 Sam. 20:61Sa 26:6; 2Sa 10:10; 23:18; 1Nya 11:20; 18:12
2 Sam. 20:62Sa 20:1
2 Sam. 20:62Sa 15:12
2 Sam. 20:62Sa 11:11; 1Fa 1:33
2 Sam. 20:72Sa 8:16
2 Sam. 20:72Sa 8:18; 1Nya 18:17
2 Sam. 20:72Sa 15:18; 1Fa 1:38
2 Sam. 20:8Yos 18:25; 21:17
2 Sam. 20:82Sa 17:25; 19:13
2 Sam. 20:9Zb 55:21; Met 26:24; Mik 7:2
2 Sam. 20:9Lu 22:47
2 Sam. 20:10Hes 35:16; 2Sa 3:27; 1Fa 2:5; Zb 55:23
2 Sam. 20:112Sa 20:2, 4
2 Sam. 20:12Mwa 4:10; 9:5
2 Sam. 20:122Sa 2:23
2 Sam. 20:132Sa 20:1
2 Sam. 20:141Fa 15:20; 2Fa 15:29; 2Nya 16:4
2 Sam. 20:15Mhu 9:14; Yer 33:4; Lu 19:43
2 Sam. 20:161Sa 25:3; 2Sa 14:2
2 Sam. 20:171Sa 25:24
2 Sam. 20:19Met 12:20
2 Sam. 20:19Mwa 18:23
2 Sam. 20:19Kum 20:10
2 Sam. 20:192Sa 17:16; Zb 124:3
2 Sam. 20:19Kut 19:5; Kum 32:9; 2Sa 21:3
2 Sam. 20:21Yos 17:15; Amu 2:9
2 Sam. 20:212Sa 20:1
2 Sam. 20:212Sa 20:6
2 Sam. 20:21Hes 16:24; Yos 7:13; Met 17:11
2 Sam. 20:21Hes 16:26
2 Sam. 20:211Sa 17:51; 31:9; 2Fa 10:7
2 Sam. 20:22Mhu 9:15, 18
2 Sam. 20:222Sa 2:28; 18:16
2 Sam. 20:232Sa 8:16; 19:13; 1Nya 18:15
2 Sam. 20:232Sa 23:20; 1Fa 1:38; 1Nya 27:5
2 Sam. 20:231Nya 12:27
2 Sam. 20:232Sa 8:18
2 Sam. 20:232Sa 15:18; 1Fa 1:44
2 Sam. 20:241Fa 4:6; 12:18
2 Sam. 20:241Fa 4:3
2 Sam. 20:251Nya 18:16
2 Sam. 20:252Sa 8:17
2 Sam. 20:252Sa 15:27; 17:15; 1Fa 4:4
2 Sam. 20:252Sa 19:11
2 Sam. 20:261Nya 18:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 20:1-26

2 Samweli

20 Basi palikuwa na mtu asiyefaa kitu,+ ambaye jina lake lilikuwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga baragumu+ na kusema: “Hatuna fungu lolote katika Daudi, nasi hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Kila mmoja na aende kwa miungu yake,+ Ee Israeli!” 2 Basi watu wote wa Israeli wakaanza kupanda, wakaacha kumfuata Daudi ili wamfuate Sheba mwana wa Bikri;+ lakini watu wa Yuda wakashikamana na mfalme wao kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.+

3 Mwishowe Daudi akaja nyumbani kwake katika Yerusalemu.+ Ndipo mfalme akawachukua wale wanawake kumi,+ masuria aliokuwa amewaacha nyuma kuitunza nyumba, akawaweka katika nyumba ya ulinzi, lakini akaendelea kuwapa chakula. Naye hakulala nao+ tena, lakini wakaendelea kufungiwa kabisa mpaka siku walipokufa, wakiwa wajane wenye mume aliye hai.

4 Basi mfalme akamwambia Amasa:+ “Wakusanye watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe usimame hapa.” 5 Kwa hiyo Amasa akaenda kukusanya Yuda pamoja; lakini akaja baada ya muda uliowekwa ambao alikuwa amemwekea. 6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Sasa Sheba+ mwana wa Bikri atakuwa mbaya kwetu kuliko Absalomu.+ Wewe wachukue watumishi+ wa bwana wako, umfuatilie, asije akajipatia majiji yenye ngome na kukimbia kutoka machoni petu.” 7 Basi watu wa Yoabu+ na Wakerethi+ na Wapelethi+ na wanaume wote wenye nguvu wakatoka ili wamfuatilie; nao wakatoka nje ya Yerusalemu ili wamfuatilie Sheba mwana wa Bikri. 8 Walikuwa karibu na lile jiwe kubwa lililo katika Gibeoni,+ naye Amasa+ akaja kuwapokea. Sasa Yoabu alikuwa amejifunga, amevaa vazi; naye alikuwa amefunga upanga kiunoni mwake, ukiwa katika ala yake. Naye akaenda mbele, nao ukaanguka.

9 Na Yoabu akamwambia Amasa: “Je, mambo ni mema kwako, ndugu yangu?”+ Ndipo mkono wa kuume wa Yoabu ukashika ndevu za Amasa ili ambusu.+ 10 Lakini Amasa hakuwa mwangalifu juu ya ule upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu; naye akamchoma+ nao tumboni, na matumbo yake yakamwagika chini, wala hakuhitaji kurudia kufanya hivyo tena. Basi akafa. Na Yoabu na Abishai ndugu yake wakamfuatilia Sheba mwana wa Bikri.

11 Na mmoja wa vijana wa Yoabu akasimama juu yake na kusema: “Yeyote ambaye amependezwa na Yoabu na yeyote ambaye ni wa Daudi,+ na amfuate Yoabu!” 12 Wakati huo wote Amasa alikuwa akigaagaa katika damu+ katikati ya njia kuu. Mtu yule alipoona kwamba watu wote walisimama tuli, akamwondoa Amasa kutoka katika ile njia kuu mpaka kwenye shamba. Mwishowe akamfunika vazi, kwa sababu aliona kwamba kila mtu aliyefika kwake alisimama tuli.+ 13 Mara tu alipokuwa amemwondoa katika ile njia kuu, kila mtu akapita, akimfuata Yoabu ili kumfuatilia Sheba+ mwana wa Bikri.

14 Na Sheba akapita kati ya makabila yote ya Israeli mpaka jiji la Abeli la Beth-maaka.+ Nao Wabikri wote wakakutanika pamoja, nao pia wakaingia nyuma yake.

15 Nao wakaja, wakamzingira katika Abeli la Beth-maaka, wakatengeneza boma la kulizingira jiji hilo,+ kwa kuwa lilikuwa ndani ya boma. Na watu wote waliokuwa pamoja na Yoabu walikuwa wanauchimbua ukuta, ili kuubomoa. 16 Na mwanamke fulani mwenye hekima+ akaanza kuita kutoka jijini: “Sikilizeni, sikilizeni! Tafadhali, mwambieni Yoabu, ‘Njoo karibu mpaka hapa, nami niseme na wewe.’” 17 Basi akaenda karibu naye, ndipo mwanamke huyo akasema: “Je, wewe ni Yoabu?” naye akasema: “Mimi ndiye.” Ndipo mwanamke huyo akamwambia: “Yasikilize maneno ya kijakazi wako.”+ Naye akasema: “Ninasikiliza.” 18 Mwanamke huyo akaendelea kusema: “Sikuzote walikuwa wakisema katika nyakati za kale hivi, ‘Na waulize katika Abeli, na hakika ndivyo watakavyolimaliza jambo hili.’ 19 Mimi nawakilisha wenye kufanya amani+ na waaminifu+ wa Israeli. Unatafuta kuua jiji+ na mama katika Israeli. Kwa nini uumeze+ urithi+ wa Yehova?” 20 Kwa hiyo Yoabu akajibu na kusema: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kwangu, kwamba nimeze na kuharibu. 21 Jambo hili haliko hivyo, lakini mtu fulani kutoka eneo lenye milima la Efraimu,+ ambaye jina lake ni Sheba+ mwana wa Bikri, amenyoosha mkono wake juu ya Mfalme Daudi.+ Ninyi mtoeni yeye peke yake,+ nami nitaondoka juu ya jiji hili.”+ Ndipo yule mwanamke akamwambia Yoabu: “Tazama! Utatupiwa kichwa chake+ kupitia ukutani!”

22 Mara moja yule mwanamke akaenda kwa watu wote kwa hekima yake,+ nao wakakikata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu. Basi akapiga baragumu,+ nao wakatawanyika kutoka kwenye jiji lile, kila mmoja akaenda nyumbani kwake; naye Yoabu akarudi Yerusalemu kwa mfalme.

23 Na Yoabu alikuwa juu ya jeshi+ lote la Israeli; na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na juu ya Wapelethi.+ 24 Na Adoramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 25 Na Sheva+ alikuwa mwandishi,+ na Sadoki+ na Abiathari+ walikuwa makuhani. 26 Na Ira, Myairi, pia akawa kuhani+ wa Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki