Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Sema na kusanyiko, na kuwaambia, ‘Ondokeni kuzunguka pande zote za maskani za Kora, Dathani na Abiramu!’”+

  • Yoshua 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Simama! Watakase watu,+ nawe useme, ‘Jitakaseni kesho, kwa maana Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa kimo katikati yenu, Ee Israeli.+ Hamtaweza kusimama juu ya adui zenu mpaka mtakapoondoa katikati yenu kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.

  • Methali 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu mbaya huendelea kutafuta uasi tu,+ na mjumbe anayetumwa kwake ni mkatili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki