Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha watumishi kumi wenye kuchukua silaha za Yoabu wakaja, wakampiga Absalomu ili wamuue.+

  • 2 Samweli 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mara moja yule mwanamke akaenda kwa watu wote kwa hekima yake,+ nao wakakikata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu. Basi akapiga baragumu,+ nao wakatawanyika kutoka kwenye jiji lile, kila mmoja akaenda nyumbani kwake; naye Yoabu akarudi Yerusalemu kwa mfalme.

  • 1 Wafalme 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na sasa, kama Yehova anavyoishi+ ambaye amenifanya imara+ na kuendelea kuniketisha juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu+ na ambaye alinifanyia nyumba+ kama vile ambavyo amesema,+ leo Adoniya atauawa.”+

  • Esta 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sasa Harbona,+ mmoja wa maofisa wa makao ya mfalme+ aliyetumikia mbele ya mfalme, akasema: “Pia, kuna mti+ wenye urefu wa mikono 50 ambao Hamani aliutengeneza kwa ajili ya Mordekai, aliyesema mema kumhusu mfalme,+ umesimama katika nyumba ya Hamani.” Basi mfalme akasema: “Mtundikeni juu yake.”+

  • Mathayo 21:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki