1 Mambo ya Nyakati 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii. 2 Mambo ya Nyakati 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Sulemani akamwambia Mungu: “Wewe Ndiye uliyemwonyesha Daudi baba yangu+ fadhili kubwa zenye upendo na kunifanya niwe mfalme mahali pake.+
23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.
8 Ndipo Sulemani akamwambia Mungu: “Wewe Ndiye uliyemwonyesha Daudi baba yangu+ fadhili kubwa zenye upendo na kunifanya niwe mfalme mahali pake.+