Marko 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaangamiza wakulima, na kuwapa wengine+ shamba la mizabibu.+ Luka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Atakuja awaangamize wakulima hao na kuwapa wengine shamba hilo la mizabibu.”+ Waliposikia hilo wakasema: “Jambo hilo lisitukie kamwe!” Matendo 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+
9 Mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaangamiza wakulima, na kuwapa wengine+ shamba la mizabibu.+
16 Atakuja awaangamize wakulima hao na kuwapa wengine shamba hilo la mizabibu.”+ Waliposikia hilo wakasema: “Jambo hilo lisitukie kamwe!”
6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+