Mathayo 21:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+ Marko 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaangamiza wakulima, na kuwapa wengine+ shamba la mizabibu.+
41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+
9 Mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaangamiza wakulima, na kuwapa wengine+ shamba la mizabibu.+