- 
	                        
            
            Mathayo 21:41Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
41 Wakamwambia: “Kwa sababu ni waovu, atawaangamiza kabisa na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda yatakapoiva.”
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Mathayo 21:41Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
 - 
                            
- 
                                        
41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, ataleta uharibifu mwovu juu yao na kukodisha shamba la mizabibu kwa walimaji wengine, ambao watamtolea yeye matunda yakiwa yamewadia wakati wayo.”
 
 -