1 Samweli 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Tafadhali, samehe makosa ya kijakazi wako,+ kwa maana bila shaka Yehova atamfanyia bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa maana bwana wangu anapigana vita vya Yehova;+ na ubaya hautapatikana ndani yako siku zako zote.+ 2 Samweli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+ Zaburi 127:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+
28 Tafadhali, samehe makosa ya kijakazi wako,+ kwa maana bila shaka Yehova atamfanyia bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa maana bwana wangu anapigana vita vya Yehova;+ na ubaya hautapatikana ndani yako siku zako zote.+
11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+
10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+
127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+