Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tafadhali, samehe makosa ya kijakazi wako,+ kwa maana bila shaka Yehova atamfanyia bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa maana bwana wangu anapigana vita vya Yehova;+ na ubaya hautapatikana ndani yako siku zako zote.+

  • 2 Samweli 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+

      “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+

  • Zaburi 127:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+

      Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+

      Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+

      Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki