Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+ 1 Wakorintho 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+
9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+