Kumbukumbu la Torati 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+ 1 Samweli 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+ Zaburi 37:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana wale wanaobarikiwa naye wataimiliki dunia,+Lakini wale anaowalaani watakatiliwa mbali.+ Zaburi 107:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Naye huwabariki hivi kwamba wanakuwa wengi sana;+Wala haachi ng’ombe wao wawe wachache.+
18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+