4 ‘Nimeifanya hiyo iende,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nayo itaingia katika nyumba ya mwizi na katika nyumba ya mtu anayefanya kiapo rasmi katika jina langu kwa uwongo;+ nayo itakaa katikati ya nyumba yake na kuiangamiza pamoja na mbao zake na mawe yake.’ ”+