45 Naye atafanya nyumba hiyo ibomolewe pamoja na mawe yake na mbao zake na saruji yote ya udongo ya nyumba hiyo, naye atafanya vichukuliwe nje ya jiji mpaka mahali pasipo safi.+
3 Dhahabu na fedha zenu zimeliwa na kutu, na kutu yake itakuwa kama ushahidi juu yenu nayo itakula sehemu zenu zenye nyama. Kitu kama moto+ ndicho mmeweka akiba+ katika siku za mwisho.+