Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Yoshua 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, wakamchukua Akani+ mwana wa Zera na ile fedha na lile vazi rasmi na kile kipande cha dhahabu+ na wanawe na binti zake na ng’ombe zake na punda zake na kundi lake na hema lake na kila kitu kilichokuwa chake, wakawaleta katika nchi tambarare ya chini ya Akori.+

  • Esta 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mfalme alisema kwa barua wakati Esta alipoingia mbele yake:+ “Hila+ mbaya ambayo amepanga juu ya Wayahudi na irudi juu ya kichwa chake mwenyewe”;+ nao wakamtundika pamoja na wanawe juu ya mti.+

  • Zekaria 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Nimeifanya hiyo iende,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nayo itaingia katika nyumba ya mwizi na katika nyumba ya mtu anayefanya kiapo rasmi katika jina langu kwa uwongo;+ nayo itakaa katikati ya nyumba yake na kuiangamiza pamoja na mbao zake na mawe yake.’ ”+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

  • Wakolosai 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa sababu ya mambo hayo ghadhabu ya Mungu inakuja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki