Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha wana wa Israeli wakafanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa kwa kuwa Akani+ mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alichukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.+ Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya wana wa Israeli.+

  • Yoshua 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, Akani+ mwana wa Zera siye aliyefanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa, na je, hasira haikuja juu ya kusanyiko lote la Israeli?+ Wala yeye siye mtu peke yake aliyekufa katika kosa lake.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki