-
Yoshua 7:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha wana wa Israeli wakafanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa kwa kuwa Akani+ mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alichukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.+ Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya wana wa Israeli.+
-