11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+
15 Na itatukia kwamba mtu atakayechaguliwa akiwa na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa atateketezwa kwa moto,+ yeye na vyote vilivyo vyake, kwa sababu amevunja agano+ la Yehova na kwa sababu amefanya upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.”’”+