Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+

  • Yoshua 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na itatukia kwamba mtu atakayechaguliwa akiwa na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa atateketezwa kwa moto,+ yeye na vyote vilivyo vyake, kwa sababu amevunja agano+ la Yehova na kwa sababu amefanya upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki