6 Basi nikamshika suria wangu, nikamkatakata vipande na kumpeleka katika kila shamba la urithi wa Israeli,+ kwa sababu walikuwa wametenda mwenendo mpotovu+ na upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.+
12 Hata hivyo, yeye akamwambia: “Hapana, ndugu yangu! Usinifedheheshe;+ kwa maana si kawaida kufanya hivi katika Israeli.+ Usifanye upumbavu huu wenye kufedhehesha.+