7 Nao wana wa Yakobo wakaingia kutoka shambani mara tu waliposikia juu ya hilo; na hao wanaume wakaumia hisia zao, wakakasirika sana,+ kwa sababu alikuwa amefanya upumbavu wenye kufedhehesha juu ya Israeli kwa kulala na binti ya Yakobo,+ wakati ambapo jambo kama hilo halipasi kufanywa.+