Zaburi 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Acha hasira na uache ghadhabu;+Usijionyeshe umewaka hasira ili tu kufanya uovu.+ Yakobo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa maana ghadhabu ya mwanadamu haitokezi uadilifu wa Mungu.+