Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+ Methali 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+ Waefeso 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Iweni na ghadhabu, lakini msitende dhambi;+ jua lisitue mkiwa katika hali ya kuchokozeka,+
32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+