7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+
20 Mwishowe hasira ya Yehova ikawaka+ juu ya Israeli naye akasema: “Kwa sababu taifa hili wamevunja agano+ langu ambalo niliwaamuru mababu zao, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+