Kutoka 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi sasa, niache, ili hasira yangu iwake juu yao nami niwaangamize,+ nami nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+ Kumbukumbu la Torati 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+ Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+ Waamuzi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+ Zaburi 106:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya watu wake;+Naye akaja kuuchukia urithi wake.+
10 Basi sasa, niache, ili hasira yangu iwake juu yao nami niwaangamize,+ nami nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+
4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+
22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+
7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+