Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi sasa, niache, ili hasira yangu iwake juu yao nami niwaangamize,+ nami nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+

  • Kumbukumbu la Torati 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+

      Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+

      Nao utateketeza dunia na mazao yake+

      Nao utawasha misingi ya milima.+

  • Waamuzi 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+

  • Zaburi 106:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya watu wake;+

      Naye akaja kuuchukia urithi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki