Waamuzi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+ Zaburi 78:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Mungu akasikia,+ akawa na ghadhabu,+Na kwa hiyo akachukia sana Israeli.+
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+