37 Na hakika wao watajikwaa juu ya mmoja na mwenzake kana kwamba ni kutokana na upanga pasipo mtu yeyote kufuatilia, nanyi hamtakuwa na uwezo wowote wa kusimama na kuwapinga adui zenu.+
25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+