Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na wana wa Israeli hawataweza kusimama juu ya adui zao.+ Watawageuzia mgongo adui zao, kwa sababu wamekuwa kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa. Sitakuwa pamoja nanyi tena isipokuwa mharibu kutoka katikati yenu kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.+

  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+

  • Isaya 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 isipokuwa iwe kwamba mtu atainama chini ya wafungwa na kwamba watu wataendelea kuanguka chini ya wale ambao wameuawa?+ Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.+

  • Yeremia 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana ikiwa mngelipiga na kuliua jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi+ na kati yao wabaki watu waliochomwa,+ kila mmoja wao angesimama katika hema lake na kuliteketeza jiji hili kwa moto.”’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki