18 Nanyi mjiepushe tu na kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ msije mkawa na tamaa+ na kuchukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa+ na kuifanya kambi ya Israeli kuwa kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa na kuiletea laana.+