Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kitu chochote kisishikamane na mkono wako kutoka katika kitu kilichofanywa kuwa kitakatifu kwa marufuku,+ ili Yehova ageukie mbali kutoka kwa hasira yake inayowaka+ naye awape ninyi rehema,+ naye awaonyeshe rehema na kuwazidisha, kama vile alivyowaapia mababu zenu.+

  • Yoshua 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nilipoona+ katikati ya nyara vazi rasmi kutoka Shinari,+ lenye kupendeza, na shekeli 200 za fedha na kipande kimoja cha dhahabu, uzito wake ukiwa shekeli 50, ndipo nikavitamani+ vitu hivyo, halafu nikavichukua;+ na, tazama! vimefichwa chini ya udongo katikati ya hema langu na zile pesa chini yake.”+

  • Waebrania 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki