25 Ndipo Yoshua akasema: “Kwa nini umeleta laana juu yetu?+ Leo hii Yehova ataleta laana juu yako.” Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ kisha wakawateketeza kwa moto.+ Kwa hiyo wakawapiga kwa mawe.
7 Na wana wa Karmi+ walikuwa Akari aliyeleta taabu juu ya Israeli,+ ambaye alitenda tendo la kukosa uaminifu kwa habari ya kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa.+