Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nawe usilete chukizo katika nyumba yako nawe uwe kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa kama kitu hicho. Kinai kitu hicho na kukichukia kabisa,+ kwa sababu ni kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa.+

  • Yoshua 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mjiepushe tu na kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ msije mkawa na tamaa+ na kuchukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa+ na kuifanya kambi ya Israeli kuwa kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa na kuiletea laana.+

  • Yoshua 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+

  • Yoshua 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, Akani+ mwana wa Zera siye aliyefanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa, na je, hasira haikuja juu ya kusanyiko lote la Israeli?+ Wala yeye siye mtu peke yake aliyekufa katika kosa lake.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki