Yoshua 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya maadui wao. Watageuka na kuwakimbia maadui wao, kwa sababu wanapaswa kuangamizwa. Sitakuwa pamoja nanyi tena msipoharibu kitu mlicho nacho kinachopaswa kuharibiwa.+ Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:12 Ufahamu, uku. 1133
12 Kwa hiyo, Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya maadui wao. Watageuka na kuwakimbia maadui wao, kwa sababu wanapaswa kuangamizwa. Sitakuwa pamoja nanyi tena msipoharibu kitu mlicho nacho kinachopaswa kuharibiwa.+