Mambo ya Walawi 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+ 2 Wafalme 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+ Zaburi 106:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Naye akawatia mkononi mwa mataifa tena na tena,+Ili wale wanaowachukia wapate kutawala juu yao,+
17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+
20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+