48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+
2 Basi Yehova akawauza+ mkononi mwa Yabini mfalme wa Kanaani, aliyetawala katika Hasori;+ na mkuu wa jeshi lake alikuwa ni Sisera,+ naye alikuwa anakaa Haroshethi+ ya mataifa.