Hesabu 33:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Na itatukia kwamba kama vile nilivyokusudia kuwatendea hao, ndivyo nitakavyowatendea ninyi.’”+ Waamuzi 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, akakusanya wana wa Amoni+ na Amaleki+ juu yao. Ndipo wakaenda, wakapiga Israeli na kulichukua jiji la mitende.+
13 Zaidi ya hayo, akakusanya wana wa Amoni+ na Amaleki+ juu yao. Ndipo wakaenda, wakapiga Israeli na kulichukua jiji la mitende.+