Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na Negebu+ na Wilaya,+ nchi tambarare ya bonde la Yeriko, jiji la mitende,+ mpaka Soari.+

  • Waamuzi 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha watu waliochaguliwa kwa majina+ yao wakasimama na kuwachukua wale mateka, na wote waliokuwa uchi wakawavika nguo kutokana na zile nyara. Basi wakawavika+ na kuwapa viatu, wakawalisha+ na kuwapa vinywaji+ na kuwapaka mafuta. Tena, kuhusu wowote wenye kutetemeka, wakawasafirisha+ juu ya punda na kuwaleta Yeriko,+ jiji la mitende,+ kando ya ndugu zao. Kisha wakarudi Samaria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki