12 Ndipo watu fulani wa vichwa+ vya wana wa Efraimu,+ Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemothi na Yehizkia mwana wa Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kuwapinga wale waliokuwa wakiingia kutoka katika shughuli hiyo ya kijeshi,