Ayubu 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ikiwa nilikuwa nikiona mtu yeyote akiangamia kwa kukosa vazi,+Au kwamba maskini hakuwa na cha kujifunika; Zaburi 106:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye akawa akiwafanya wahurumiweMbele ya wale wote waliokuwa wamewashika mateka.+ Isaya 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
19 Ikiwa nilikuwa nikiona mtu yeyote akiangamia kwa kukosa vazi,+Au kwamba maskini hakuwa na cha kujifunika; Zaburi 106:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye akawa akiwafanya wahurumiweMbele ya wale wote waliokuwa wamewashika mateka.+ Isaya 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+