Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+

  • Mathayo 25:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 nilikuwa uchi,+ nanyi mkanivika. Nilishikwa na ugonjwa nanyi mkanitunza. Nilikuwa gerezani+ nanyi mkanijia.’

  • Luka 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akawajibu, akawaambia: “Mtu aliye na mavazi mawili ya ndani na ashiriki pamoja na mtu ambaye hana hata moja, na aliye na vyakula afanye vivyo hivyo.”+

  • Yakobo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ikiwa ndugu au dada yuko uchi naye hana chakula cha kutosha kwa ajili ya siku,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki