7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
11 Akawajibu, akawaambia: “Mtu aliye na mavazi mawili ya ndani na ashiriki pamoja na mtu ambaye hana hata moja, na aliye na vyakula afanye vivyo hivyo.”+