2 mtu mwenye kuheshimu+ na kumwogopa+ Mungu pamoja na watu wote wa nyumba yake, naye aliwapa watu+ zawadi nyingi za rehema na kuomba dua kwa Mungu sikuzote.+
17 Lakini yeyote aliye na riziki ya ulimwengu huu+ naye amwone ndugu yake akiwa na uhitaji+ na bado amfungie mlango wa huruma zake nyororo,+ ni katika njia gani kumpenda Mungu hukaa ndani yake?+