Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+ Tito 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Neno hilo ni la uaminifu,+ na kuhusu mambo hayo ninatamani usisitize kwa nguvu daima, ili wale ambao wamemwamini Mungu wakaze akili zao juu ya kudumisha matendo yaliyo mazuri.+ Mambo hayo ni mazuri na yenye faida kwa watu.
19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+
8 Neno hilo ni la uaminifu,+ na kuhusu mambo hayo ninatamani usisitize kwa nguvu daima, ili wale ambao wamemwamini Mungu wakaze akili zao juu ya kudumisha matendo yaliyo mazuri.+ Mambo hayo ni mazuri na yenye faida kwa watu.