Waefeso 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+