Mambo ya Walawi 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtanisikiliza wala kutenda amri zote hizi,+ Kumbukumbu la Torati 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+ Zaburi 106:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hawakuangamiza vikundi vya watu,+Kama Yehova alivyokuwa amewaambia.+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+