18 Mtu yeyote atakayeasi agizo lako,+ akatae kuyasikiliza maneno yako katika mambo yote ambayo utamwamuru, atauawa.+ Ila tu uwe hodari na mwenye nguvu.”+
25 Ndipo Yoshua akasema: “Kwa nini umeleta laana juu yetu?+ Leo hii Yehova ataleta laana juu yako.” Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ kisha wakawateketeza kwa moto.+ Kwa hiyo wakawapiga kwa mawe.