2 Samweli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+ Zaburi 127:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+
11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+
127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+