27 Kwa maana wewe, Yehova wa majeshi Mungu wa Israeli, umemfunulia mtumishi wako katika sikio, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’+ Ndiyo sababu mtumishi wako amejipa moyo kusali kwako kwa sala hii.+
24 Na sasa, kama Yehova anavyoishi+ ambaye amenifanya imara+ na kuendelea kuniketisha juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu+ na ambaye alinifanyia nyumba+ kama vile ambavyo amesema,+ leo Adoniya atauawa.”+
10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ naye atakuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba+ yake. Nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme+ wake juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.’