Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana wewe, Yehova wa majeshi Mungu wa Israeli, umemfunulia mtumishi wako katika sikio, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’+ Ndiyo sababu mtumishi wako amejipa moyo kusali kwako kwa sala hii.+

  • 1 Wafalme 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na sasa, kama Yehova anavyoishi+ ambaye amenifanya imara+ na kuendelea kuniketisha juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu+ na ambaye alinifanyia nyumba+ kama vile ambavyo amesema,+ leo Adoniya atauawa.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+

  • 1 Mambo ya Nyakati 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ naye atakuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba+ yake. Nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme+ wake juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.’

  • Zaburi 89:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 ‘Nitaufanya imara uzao wako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme+ kwa kizazi baada ya kizazi.’” Sela.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki