9 Na abarikiwe Yehova Mungu wako,+ ambaye amependezwa+ nawe, akakuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli;+ kwa sababu Yehova anawapenda Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ hivi kwamba akakuchagua wewe uwe mfalme+ ili kufanya uamuzi wa hukumu+ na uadilifu.”+