Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ilikuwa kwa sababu Yehova aliwapenda ninyi,+ na kwa sababu ya kushika ile ahadi yenye kiapo aliyowaapia mababu zenu,+ ndiyo sababu Yehova aliwatoa nje kwa mkono wenye nguvu,+ apate kuwakomboa ninyi kutoka katika nyumba ya watumwa,+ kutoka katika mkono wa Farao mfalme wa Misri.

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nawe ukawafanya watu wako Israeli kuwa watu wako+ mpaka wakati usio na kipimo, na wewe mwenyewe, Ee Yehova, ukawa Mungu wao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro+ akatoa neno katika maandishi, akalituma kwa Sulemani: “Kwa sababu Yehova aliwapenda+ watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme juu yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki