5Na Hiramu+ mfalme wa Tiro+ akatuma watumishi+ wake kwa Sulemani, kwa maana alikuwa amesikia kwamba walikuwa wamemtia yeye mafuta kuwa mfalme mahali pa baba yake; kwa kuwa sikuzote Hiramu alimpenda Daudi.+
11 (Hiramu+ mfalme wa Tiro alikuwa amemsaidia Sulemani+ kwa mbao za mierezi na mbao za miberoshi na kwa kumletea dhahabu nyingi kama alivyopenda,)+ kwamba wakati huo Mfalme Sulemani akampa Hiramu majiji 20 katika nchi ya Galilaya.+