5Na Hiramu+ mfalme wa Tiro+ akatuma watumishi+ wake kwa Sulemani, kwa maana alikuwa amesikia kwamba walikuwa wamemtia yeye mafuta kuwa mfalme mahali pa baba yake; kwa kuwa sikuzote Hiramu alimpenda Daudi.+
7 Na ikawa kwamba mara tu Hiramu+ aliposikia maneno ya Sulemani, akaanza kushangilia sana, naye akasema: “Yehova amebarikiwa+ leo kwa maana amempa Daudi mwana mwenye hekima+ juu ya watu hawa wengi sana!”+
3 Tena Sulemani akatuma watu kwa Hiramu+ mfalme wa Tiro, akisema: “Kama ulivyomtendea Daudi+ baba yangu, ulivyokuwa ukimletea mierezi ili ajijengee nyumba ya kukaa,—